News

MBIO MIAKA 25 YA TAWJA ZAFANA ARUSHA

January 21, 2025

Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) leo tarehe 19 Januari, 2025 kimefanya mbio maalum zilizohusisha Majaji, Naibu Wasajili, Mahakimu, vikundi vya riadha pamoja na Wadau mbalimbali ili kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 25 tangu kuanzishwa kwake.

CELEBRATING THE INTERNATIONAL DAY OF WOMEN JUDGES

February 1, 2024

TAWJA Syposium held on 10th march,2023 at JICC,Dar es Salaam celebrating the internation day of Women Judges. The official opening graced by Honourable Chief Justice of Tanzania, Prof. IbrahimJuma

JAJI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA MAJAJI NA MAHAKIMU WANAWAKE TANZANIA

February 1, 2024

Ni katika kuadhimisha Siku ya Majaji na Mahakimu wanawake Duniani Ataja faida kadhaa za Majaji na Mahakimu Wanawake Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amefungua Kongamano maalum la kusherehekea Siku ya Majaji na Mahakimu Wanawake Duniani lililoandaliwa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) ambapo amebainisha kuwa, uwepo wa Majaji na Mahakimu Wanawake una faida nyingi ikiwemo kuongeza kuaminika kwa Mahakama na kuongeza imani ya wananchi kwa Mhimili huo na mfumo mzima wa utoaji haki.

JAJI MKUU AKUTANA NA VIONGOZI WA TAWJA KANDA YA ARUSHA 

February 1, 2024

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma jana tarehe 24 Februari, 2023 amekutana na viongozi wa Chama cha Majaji na Mahakimu (TAWJA) waliopo katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanayofanya.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved