TAWJA -EXCOM wafanya mazungumzo na Wizara ya Katiba Na Sheria mjini Dodoma

Katika picha viongozi wa TAWJA -EXCOM Leo wamefanya mazungumzo na Wizara ya Katiba Na Sheria mjini Dodoma kuhusu kuwa na ushirikiano wa kutoa elimu kwa umma na kujrnga uwezo kwa Majaji na Mahakimu Wanawake na hasa katika kuashimisha siku ya kimataifa ya Majaji na Mahakimu Wanawake duniani.

Mwenyekiti huyo ameeleza kwamba, katika Mkutano huo, Mahakama ya Tanzania itapata nafasi ya kutoa mada ya kuelezea hatua zinazochukuliwa na TAWJA katika kumpa nafasi mwanamke kwenye Uongozi hasa kwenye Mahakama.

Kaulimbiu ya Mkutano huo inasema ‘Nafasi ya Majaji Wanawake katika kupambana na mila potofu katika ulimwengu wa sasa.’

Mbali na TAWJA, Vyama vingine vitakavyoshiriki katika mkutano huo ni kutoka Nigeria, Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Cote d’Ivoire na nyingine.

Kiongozi wa msafara wa wanachama wa TAWJA, Mhe. Sehel pamoja na wenzake wamewasili leo hii jijini Accra majira ya saa 5 asubuhi tayari kwa kushiriki kikamilifu Mkutano huo muhimu.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved