Wana Tawja Dodoma katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.
Wana Tawja Dodoma, Mhe Juliana Mvungi na Mhe Nyamizi Kafuku wakishiriki katika ufunguzi wa kampeni za siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, yaliyofanyika katika kata ya Handali Wilayani Chamwino Dodoma , leo tarehe 25 Nov, 2025