Month: December 2025

Mootcourt na wanafunzi wa CUoM Mbeya

Mootcourt na wanafunzi wa CUoM Mbeya

Mbeya zone walifanya Mootcourt na wanachuo wa CUoM Mbeya, Geni Rasmi alikuwa Mhe.Jaji Joachim Tiganga J I/c Mbeya Zone, Kupinga ukatili wa kijinsia

Mwenyekiti huyo ameeleza kwamba, katika Mkutano huo, Mahakama ya Tanzania itapata nafasi ya kutoa mada ya kuelezea hatua zinazochukuliwa na TAWJA katika kumpa nafasi mwanamke kwenye Uongozi hasa kwenye Mahakama.

Kaulimbiu ya Mkutano huo inasema ‘Nafasi ya Majaji Wanawake katika kupambana na mila potofu katika ulimwengu wa sasa.’

Mbali na TAWJA, Vyama vingine vitakavyoshiriki katika mkutano huo ni kutoka Nigeria, Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Cote d’Ivoire na nyingine.

Kiongozi wa msafara wa wanachama wa TAWJA, Mhe. Sehel pamoja na wenzake wamewasili leo hii jijini Accra majira ya saa 5 asubuhi tayari kwa kushiriki kikamilifu Mkutano huo muhimu.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved

KONGAMANO LA KUPINGA UKATILI ZANZIBAR

TAWJA -EXCOM wafanya mazungumzo na Wizara ya Katiba Na Sheria mjini Dodoma

TAWJA -EXCOM wafanya mazungumzo na Wizara ya Katiba Na Sheria mjini Dodoma

Katika picha viongozi wa TAWJA -EXCOM Leo wamefanya mazungumzo na Wizara ya Katiba Na Sheria mjini Dodoma kuhusu kuwa na ushirikiano wa kutoa elimu kwa umma na kujrnga uwezo kwa Majaji na Mahakimu Wanawake na hasa katika kuashimisha siku ya kimataifa ya Majaji na Mahakimu Wanawake duniani.

Mwenyekiti huyo ameeleza kwamba, katika Mkutano huo, Mahakama ya Tanzania itapata nafasi ya kutoa mada ya kuelezea hatua zinazochukuliwa na TAWJA katika kumpa nafasi mwanamke kwenye Uongozi hasa kwenye Mahakama.

Kaulimbiu ya Mkutano huo inasema ‘Nafasi ya Majaji Wanawake katika kupambana na mila potofu katika ulimwengu wa sasa.’

Mbali na TAWJA, Vyama vingine vitakavyoshiriki katika mkutano huo ni kutoka Nigeria, Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Cote d’Ivoire na nyingine.

Kiongozi wa msafara wa wanachama wa TAWJA, Mhe. Sehel pamoja na wenzake wamewasili leo hii jijini Accra majira ya saa 5 asubuhi tayari kwa kushiriki kikamilifu Mkutano huo muhimu.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved

Wana TAWJA Kanda ya Lindi wilayani Ruangwa

Wana TAWJA Kanda ya Lindi wilayani Ruangwa

Wana TAWJA Kanda ya Lindi wilayani Ruangwa wakitoa elimu katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia katika mahakama ya mwanzo Ruangwa

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved

Wana TAWJA Tabora katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. 

Wana TAWJA Tabora katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. 

TAWJA Tabora kwa kushirikiana na dawati la jinsia, polisi leo tarehe 25/11/2025 wametoa elimu juu ya ukatili wa kijinsia mtandaoni, katika kituo cha Redio Uyui FM-Tabora.
Hii ni katika kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Katika picha ni Mhe Monika Muhandikila & Mhe Paulina Mkaumbya.

Mwenyekiti huyo ameeleza kwamba, katika Mkutano huo, Mahakama ya Tanzania itapata nafasi ya kutoa mada ya kuelezea hatua zinazochukuliwa na TAWJA katika kumpa nafasi mwanamke kwenye Uongozi hasa kwenye Mahakama.

Kaulimbiu ya Mkutano huo inasema ‘Nafasi ya Majaji Wanawake katika kupambana na mila potofu katika ulimwengu wa sasa.’

Mbali na TAWJA, Vyama vingine vitakavyoshiriki katika mkutano huo ni kutoka Nigeria, Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Cote d’Ivoire na nyingine.

Kiongozi wa msafara wa wanachama wa TAWJA, Mhe. Sehel pamoja na wenzake wamewasili leo hii jijini Accra majira ya saa 5 asubuhi tayari kwa kushiriki kikamilifu Mkutano huo muhimu.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved

Wana Tawja Dodoma katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.

Wana Tawja Dodoma katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.

Wana Tawja Dodoma, Mhe Juliana Mvungi na Mhe Nyamizi Kafuku wakishiriki katika ufunguzi wa kampeni za siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, yaliyofanyika katika kata ya Handali Wilayani Chamwino Dodoma , leo tarehe 25 Nov, 2025

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved

Wana TAWJA Zanzibar katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia TAWJA leading the way

Wana TAWJA Zanzibar katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia TAWJA leading the way

Mhe. Fatma H ,J na Mhe. Nayla Wana TAWJA Kanda ya Zanzibar wakitoa elimu katika TV ya Taifa ZBC kwenye siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.

© 2024 Tanzania Women Judges Association. All Rights Reserved